Breadcrumbs

Useful

Nioneshe Pesa Ziliko

Katika miezi ya hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko la madai ya uwajibikaji kutoka kwa Wabunge ambayo yamebadilisha muonekano wa Bunge na yamepelekea kujiuzuru kwa mawaziri kadhaa, ikiwa ni pamoja na Waziri Mkuu. Mswada wa Sheria ya Ukaguzi imepelekwa Bungeni chini ya hati ya dharura na itajadiliwa katika kikao kijacho cha Bajeti mwaka huu. Mswada huu unalenga kuiongezea Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAO) uhuru mkubwa wa kutoingiliwa na Dola katika utendaji wake wa kumsaidia Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali.

Kuboresha Uwajibikaji wa Serikali za Mitaa: Fursa Ziko Waapi

Ni maslahi ya nani yanayozingatiwa wakati wa kupanga na kufanya maamuzi mengine? Kuna mikakati gani ya kuiwajibisha serikali katika utendaji wake? Tofauti nyingine ya muhimu ni kati ya uwajibikaji kwa jamii ama kwa ngazi za juu serikalini na wahisani. Kipeperushi hiki kinatoa muhtasari wa mchakato wa upangaji katika serikali za mitaa, na kinatoa mawazo juu ya namna Asasi za Kiraia na nyingine zinavyoweza kuongeza uwajibikaji wa serikali za mitaa kwa jamii.

UFAFANUZI WA MIKATABA YA MADINI TANZANIA

Zipo nyaraka nyingi zinazoonesha kuwa Tanzania imejaliwa madini mbalimbali yakiwamo almasi, dhahabu, na madini ya vito yasiyopatikana mahali pengine popote duniani, Tanzanite.

Hivi karibuni, sekta ya madini iliwekwa kwenye kipaumbele na Serikali ya Tanzania kutokana na uwezo wake mkubwa wa kuchangia katika ukuaji wa haraka wa uchumi wa nchi.

KIFO CHA MWANAMKE MJAMZITO MWANANYAMALA HOSPITALI - FEMACT

KAULI YA FEMACT  (15/07/2008) JUU YA

KIFO CHA MWANAMKE MJAMZITO MWANANYAMALA HOSPITALI

Tumepokea na kufuatilia mkanganyiko wa sababu za kifo cha mama mjamzito (Tedy Dimoso) na kichanga wake wakati wa kujifungua kwa masikitiko makubwa sana. Kwa mujibu wa barua kutoka kwa msimamizi wa mirathi kifo hiki kilitokea tarehe 01/06/2008 katika hospitali ya Mwananyamala. Barua hiyo ya tarehe 06/06/2008 kwenda kwa Waziri wa Afya inatoa maelezo kwa kina jinsi kifo hicho kinavyoweza kuwa kimetokea kwa uzembe.

Hotuba ya Waziri wa Fedha na Uchumi Mhe. Mustafa Mkulo (MB) Akiwakilisha Bungeni Mapendekezo ya Serikali

Hotuba ya Waziri wa Fedha na Uchumi Mhe. Mustafa Mkulo (MB) Akiwakilisha Bungeni Mapendekezo ya Serikali Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka 2008/2009.

Launch of Popular Version of the Prevention and Combating of Corruption Act (PCCA)

This popular version of the PCCA is a useful source of information and can assist Tanzanians to better understand not only the laws relating to corruption but further what can be done once an act of corruption has been identified.

Pre Budget Briefs Launched

After reviewing the Budget Guidelines, Policy Forum's Budget Working Group (BWG) produced four Pre-Budget briefs and launched them to the media and various stakeholders. The briefs present budget information in a simple way and ask key questions such as:

RSS feed
[?]
RSS Feed
How to use RSS feed - click here for more info and help