Bajeti ya Serikali ya Mwaka 2011- 2012
Posted January 10th, 2012 by Web Master
Bajeti ya Mwananchi ni bajeti iliyorahisishwa na ambayo imewekwa katika muundo unaomfanya mwananchi wa kawaida aweze kuelewa
mambo muhimu ambayo Serikali imeyapanga katika mwaka wa fedha. Bajeti hii ya mwananchi inalenga kufanya taarifa za kifedha zieleweke kwa urahisi na mwananchi wa kawaida na kuwapa wananchi fursa ya kuelewa mipango ya Serikali na mchakato wa kutekeleza bajeti hiyo. Bajeti inataja kwa ufupi wapi Serikali itapata fedha na jinsi ilivyojipanga kutumia fedha hizo.Tafadhali angalia kiambatanisho hapo chini kwa kusoma zaidi.
| Attachment | Size |
|---|---|
| Bajeti yaSerikaliyaMwaka 2011121.pdf | 5.09 MB |