Uanachama
Policy Forum ina wanachama zaidi ya 60 waliosajiliwa ambao ni asasi zisizokuwa za Serikali zilizosajiliwa Tanzania.
Kujiunga bure, utahitaji kujaza fomu (faili ya PDF) ambayo inapatikana kwa kubofya kitufe hapo chini ya ukurasa huu.
Isaidie Policy Forum irekebishe rekodi zake!
Kama unafikiri kwamba wewe au asasi yako:
- Inatakiwa iwe kwenye orodha lakini haipo;
- Ipo kwenye orodha lakini haikutakiwa kuwepo;
- Anuani inaonekana wazi kwa wanachama na wengineo lakini hutaki;
- Anuani haionekani wazi kwa wanachama na wengineo na wewe unataka ionekane.
Tafadhali tuma barua pepe kupitia: info@policyforum.or.tz
Majina ya wanachama wetu yameorodheshwa hapa chini:-
| Attachment | Size |
|---|---|
| membership form (pdf) | 17.9 KB |