Dira: Policy Forum ni asasi huru yenye dhamira ya kuhusisha wananchi, asasi zisizo za kiserikali, na sekta zote zingine za jamii katika michakato ya uundwaji wa sera. Dhamira hii pia inahusisha kuwezesha hatua zote za michakato ya uundwaji wa sera zinaelimisha wananchi, zinakuza uwezo wao wa kujihusisha na zinaendeshwa kwa njia inayotoa nafasi ya uwajibikaji.

Mazungumzo ya Asasi za Kiraia Juu ya Ukwepaji Haramu wa Fedha Afrika

Wiki hii Policy Forum ilifanya mjadala maalum wa nusu siku kuhusiana na ukwepaji haramu wa fedha kutoka Afrika na wataalamu wawili wa kimataifa wa mada hii ambao ni Baker Raymond, Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Global Financial Intergrity,taasisi inayoongoza ya kimataifa ya uchunguzi wa fedha haramu  uliounganishwa na Alvin Mosioma, Mratibu wa Tax Justice Network Afrika, taasisi ambayo ina lengo la kukuza haki za kijamii, kidemokrasia na maendeleo ya mifumo ya kodi ya Afrika.

Bodi Mpya ya Wakurugenzi ya Policy Forum ya Mwaka 2012

Kuhama kwa Ofisi za Policy Forum

Hii ni taarifa kwa wanachama wa Policy Forum na umma kwa ujumla kuwa kuanzia Machi 12, 2012, ofisi ya Policy Forum itahama kutoka Plot 270 Kiko Avenue, Hivyo anwani yetu mpya itakuwa:

 Plot 14, Nyumba No. 752
 Sembeti Street (Off Old Bagamoyo Road)
 Mikocheni B
 Dar es Salaam

 Anwani yetu ya posta, barua pepe, tovuti na namba ya Mkono zinabakia vile vile

 Namba yetu mpya ya simu ni +255 22 2780200

 Wapi tunaweza kupatikana?

RSS feed
[?]
RSS Feed
How to use RSS feed - click here for more info and help